
Mtakatifu Rose wa Lima alikuwa Mlei wa tatu wa Mtakatifu Dominiko na ni Bikira.Alitangazwa kuwa mwenyeheri na Papa Klementi IX Tarehe 10 Mei 1667 na baadae kutangazwa Mtakatifu tarehe 12 April 1671 na Papa Klement IX.
Imebeba sala na muongozo juu ya Ukatoliki katika kuutafuta utakatifu ila na mwanadamu yoyote apendezwaye na sala hizi naomba aungane kwenye jumuiya hii maana sote ni baba mmoja katika itikadi tofauti Amina
No comments:
Post a Comment